Kilimo Kwanza


KILIMO KWANZA is a national resolve to accelerate agricultural transformation. It comprises a holistic set of policy instruments and strategic interventions towards addressing various sectoral challenges and taking advantage of the numerous opportunities to modernise and commercialise agriculture in Tanzania.
President Jakaya Mrisho Kikwete launched KILIMO KWANZA in Dodoma on 3rd August 2009, as a central pillar in achieving the country’s Vision 2025 and a force to propel the realisation of the Nation’s socio-economic development goals. Agriculture in the context of KILIMO KWANZA conforms to the FAO definition which includes crops, livestock, fisheries, forestry and bee-keeping.
KILIMO KWANZA is a catalyst for the implementation of Agricultural Sector Development Programme (ASDP) and accelerates implementation and achievement of MDGs targets and objectives with a stronger emphasis for pro – poor growth. It takes a holistic approach for the development of agricultural sector which involves all sectors in the economy. KILIMO KWANZA provides national coordination of resources, planning and accountability for implementation of agricultural transformation and enhances strong private sector participation as a key agent towards realization of agricultural goals.
The implementation of KILIMO KWANZA revolves around ten pillars, namely
 
  1. Political will to push our agricultural transformation.
  2. Enhanced financing for agriculture.
  3. Institutional reorganization and management of agriculture.
  4. Paradigm shift to strategic agricultural production.
  5. Land availability for agriculture.
  6. Incentives to stimulate investments in agriculture.
  7. Industrialization for agricultural transformation.
  8. Science, technology and human resources to support agricultural transformation.
  9. Infrastructure Development to support agricultural transformation.
  10. Mobilization of Tanzanians to support and participate in the implementation of KILIMO KWANZA.      
Since KILIMO KWANZA was launched, there has been some improvements in the performance of the agricultural sector such as:
  • The increase in the agricultural budgets, the share of budget for agriculture has risen to about 7 percent of the annual budget, which has also led to increased subsidies to farmers from 750,000 last year (2008/09) to 1,500,000 farmers this year (2009/2010). The target is to reach 10 percent for the development of the sector.
  • To effectively finance the agricultural sector, the Government has arranged a special window for concessionary lending for agricultural production at TIB, while procedures of establishing an Agricultural Bank are underway.
  • The government has established a Task Force to review fiscal and non – fiscal policies to attract more investors in the agricultural sector.  
  • Most agricultural equipment have been exempted from taxation, this has increased the private sector participation in the agricultural sector by importing more tractors and other equipment for agriculture production and processing in the country.
The Fourth Phase Government decided to champion KILIMO KWANZA after recognizing the importance of the agriculture sector in the country and the need to build on the past efforts, after making an in-depth review of the agricultural sector and formulating the Agricultural Sector Development Programme (ASDP),which placed new initiatives with strategies and plans for implementation of Green Revolution.
Core features of the ASDP are to strengthen Public and Private Partnerships across all levels of the agricultural sector and implement the District Agricultural Development Plans (DADPs) as the comprehensive tool for agricultural development at district level.
The main focus is to emphasize on the transformation of the poor peasantry farming methods into productive agriculture through utilization of improved agricultural technologies, inputs, credits and market access and to see Tanzania peasants moving from where they are now by using more ploughs, power tillers and tractors whenever possible.
TANZANIA’S UNIQUE POTENTIALS FOR KILIMO KWANZA IMPLEMENTATION
  • Existence of 44 million hectares of arable land but only 23% is currently under cultivation.
  • 62,000 sq.kms of the fresh water resources available for crops, livestock and fish farming which is grossly underutilized.
  • 29 million hectares of irrigable land but only ONE PERCENT is currently under irrigation.
  • 19 million cattle, 17 million sheep and goats; 30 million chicken which are not commercially exploited.
  • 1,424 kms of coastline and 223,000 sq.kms of Tanzania’s Exclusive Economic Zone of the Indian Ocean which is not being effectively exploited.

Mimi na Tanzania - Bi Kidude (Sehemu ya Kwanza)

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA

1
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
OFISI YA RAIS
SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA
UMMA
Kumb. Na EA.7/96/01/E/26 27 Novemba, 2013
TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI
Sekretariati ya Ajira katika Utumishi wa Umma ni chombo ambacho
kimeundwa kwa mujibu wa Sheria ya Utumishi wa Umma Na. 8 ya mwaka
2002 kama ilivyorekebishwa na Sheria Na. 18 ya mwaka 2007 kifungu
29(1). Kwa mujibu wa Sheria hiyo, chombo hiki, pamoja na kazi zingine
kimepewa jukumu la kutangaza nafasi wazi za kazi zinazotokea katika
Utumishi wa Umma kwa niaba ya Waajiri (Taasisi za Umma).
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma anakaribisha
maombi ya Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi 2748 za
kazi kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Uvuvi na Maendeleo ya
Mifugo,Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika, Mkurugenzi
Halmashauri Wilaya ya Kiteto, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Mlele,
Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Kalambo, Mkurugenzi Halmashauri
Wilaya ya Mpanda, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Nkasi, Mkurugenzi
Halmashauri Wilaya ya Sumbawanga na Mkurugenzi Manispaa ya
Kinondoni.
Nafasi nyingine ni kwa ajili ya Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Kyerwa,
Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Chato, Mkurugenzi Halmashauri
Wilaya ya Misenyi, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Ngara, Mkurugenzi
Halmashauri Wilaya ya Muleba, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya
2
Bukoba, Mkurugenzi Halmashauri ya Mji Handeni, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Mkinga, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Kilindi, Mkurugenzi Halmashauri ya Mji Korogwe, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Pangani, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Handeni, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Korogwe na Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Muheza.
Nafasi hizo pia ni kwa ajili ya Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Ulyankulu, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Sikonge, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Uyui, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Nzega, Mkurugenzi Halmashauri ya Mji Nzega, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Igunga, Mkurugenzi Manispaa ya Tabora, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Ikungi, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Mkalama, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Iramba, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Manyoni, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Singida, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Itilima na Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Ushetu.
Waajiri wengine ni Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Msalala, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Kishapu, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Bukombe, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Meatu, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Shinyanga, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Maswa, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Kahama, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Bariadi, Mkurugenzi Manispaa ya Shinyanga, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Nyasa, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Namtumbo, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Mbinga, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Tunduru, Mkurugenzi Manispaa ya Songea, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Nyang`wale, Mkurugenzi Manispaa ya Ilemela, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Misungwi, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Ukerewe, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Geita na Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Magu.
3
Nafasi hizo za kazi pia ni kwa aajili ya Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Tandahimba, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Newala, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Masasi, Mkurugenzi Halmashauri ya Mji Masasi, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Gairo, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Mvomero, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Kilombero, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Ulanga, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Morogoro, Mkurugenzi Manispaa ya Morogoro, Mkurugenzi Halmashauri ya Mji Tunduma, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Momba, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Mbarali, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Ileje, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Kyela, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Chunya, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Mbozi, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Mbeya, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Rorya, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Serengeti, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Bunda, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Tarime, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Butiama, Mkurugenzi Halmashauri Manispaa ya Musoma, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Ruangwa, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Nachingwea, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Lindi, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Mwanga na Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Hai.
Katika nafasi hizo waajiri weengine ni Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Rombo, Mkurugenzi Halmashauri Manispaa ya Moshi, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Kahama, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Uviza, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Monduli, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Babati, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Hanang, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Simanjiro, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Bagamoyo, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Kisarawe, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Rufiji, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Mafia, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Mkuranga, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Iringa, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Mufindi, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Makete, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Karatu, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Chamwino, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Mpwapwa, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Kondoa, Mkurugenzi
4
Halmashauri Wilaya ya Kongwa na Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Bahi,
Waajiri wengine katika nafasi hizo za kazi ni Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Chemba, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Njombe, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Kongwa, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Kilolo, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Makambako, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Ludewa, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Wanging`ombe, Mkurugenzi Halmashauri Manispaa ya Kigoma, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Kigoma, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Kasulu, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Kakonko, Katibu Tawala Mkoa Arusha, Katibu Tawala Mkoa Pwani, Katibu Tawala Mkoa Dodoma, Katibu Tawala Mkoa Iringa, Katibu Tawala Mkoa Kilimanjaro, Katibu Tawala Mkoa Mtwara, Katibu Tawala Mkoa Mwanza, Katibu Tawala Mkoa Ruvuma, Katibu Tawala Mkoa Tabora, Katibu Tawala Mkoa Kagera, Katibu Tawala Mkoa Dar es salaam, Katibu Tawala Mkoa Rukwa, Katibu Tawala Mkoa Katavi, Katibu Tawala Mkoa Njombe, Katibu Tawala Mkoa Njombe, Katibu Tawala Mkoa Simiyu na Katibu Tawala Mkoa Geita.
MASHARITI YA JUMLA KWA KAZI ZOTE.
i. Waombaji wote wawe ni Raia wa Tanzania.
ii. Waombaji wote waambatanishe cheti cha kuzaliwa.
iii. Waombaji ambao tayari ni watumishi wa Umma na wamejipatia sifa za kuingilia katika kada tofauti na walizonazo, wapitishe barua zao za maombi ya nafasi za kazi kwa waajiri wao na Waajiri wajiridhishe ipasavyo.
iv. Nafasi ya kazi inayoombwa iandikwe katika kichwa cha habari cha barua na juu ya bahasha, kutozingatiwa hili kutasababisha maombi ya kazi kuwa batili.
v. Waombaji waambatanishe maelezo binafsi yanayojitosheleza (Detailed C.V) yenye anwani na namba za simu za kuaminika pamoja na majina ya wadhamini (referees) watatu wa kuaminika.
vi. Maombi yote yaambatane na vyeti vya taaluma, maelezo, nakala za vyeti vya kidato cha nne na kidato cha sita kwa wale waliofikia kiwango hicho na vyeti vya kuhitimu mafunzo mbalimbali kwa kuzingatia sifa za kazi husika. Viambatanisho hivyo vibanwe sawa sawa kuondoa uwezekano wa kudondoka kupotea.
- Postgraduate/Degree/Advanced Diploma/Diploma/Certificates.
- Cheti cha mtihani wa kidato cha IV na VI
- Computer Certificate
- Vyeti vya kitaaluma (Professional certificates from respective boards)
5
- Picha moja “Passport size” ya hivi karibuni iandikwe jina kwa nyuma.
vii. “Transcripts”, “Testmonials”, “Provisional Results”, “Statement of results”, hati matokeo za kidato cha nne na sita (FORM IV AND FORM VI RESULTS SLIPS) HAVITAKUBALIWA.
viii. Waombaji wawe na umri usiozidi miaka 45.
ix. Waombaji waliostaafishwa katika Utumishi wa Umma hawaruhusiwi kuomba isipokuwa kama wanakibali cha Katibu Mkuu Kiongozi.
x. Waombaji kazi ambao tayari ni waajiriwa katika nafasi za kuingilia walioko katika utumishi wa umma wasiombe na wanatakiwa kuzingatia maelekezo yaliyo katika Waraka Na CAC. 45/257/01/D/140 wa tarehe 30 Novemba 2010.
xi. Uwasilishaji wa taarifa na sifa za kugushi wahusika watachukuliwa hatua za kisheria.
xii. WAAJIRI WOTE WALIOPO NJE YA DAR ES SALAAM WANAOMBWA KUSAMBAZA MATANGAZO HAYA KWENYE MBAO ZA MATANGAZO NA MAENEO MENGINE.
xiii. Mwisho wa kupokea barua za maombi ni tarehe 10 Desemba, 2013
xiv. Aidha, uwasilishaji wa barua kwa mkono katika ofisi za Sekretarieti ya ajira HAURUHUSIWI.
xv. Maombi yanaweza kuandikwa kwa Lugha ya Kiswahili au Kiingereza na yatumwe kupitia posta kwa anuani ifuatayo.
xvi. Kila mwombaji kazi atapangwa katika kituo chochote cha kazi bila kujali eneo/mahali alipoomba kutokana na mahitaji ya mwajiri pamoja na idadi ya waombaji katika eneo husika.
Katibu, AU Secretary,
Sekretariati ya Ajira katika Public Service Recruitment
Utumishi wa Umma, Secretariat,
SLP.63100, P.O.Box 63100
Dar es Salaam. Dar es Salaam.
1.0 AFISA UVUVI DARAJA LA II (FISHERIES OFFICER GRADE II) – NAFASI 39
1.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kutekeleza Sera ya Uvuvi.
 Uhifadhi wa samaki na viumbe wengine wa majini na mazingira yao.
 Kuratibu na kusimamia uhifadhi wa mazingira.
 Kuendeleza uvunaji endelevu wa samaki na viumbe wengine wa baharini, maziwa, mito, mabwawa na malambo.
6
 Kutoa ushauri wa kitaalam kuhusu Uvuvi bora, utengenezaji na udhifadhi bora wa Samaki na mazao ya uvuvi, Biashara na Masoko ya Samaki pamoja na Ufugaji wa Samaki na viumbe wengine wa majini.
 Kutoa leseni za uvuvi.
 Kuendesha mafunzo ya taaluma ya uvuvi.
 Kusimamia na kutekeleza Sheria za Uvuvi (k.m. kuzuia uvuvi haramu).
 Kusimamia ukusanyaji wa takwimu za uvuvi pamoja na maduhuli.
 Kuratibu shughuli za utafiti wa uvuvi.
 Kutoa ushauri na Mafunzo kwa wananchi juu ya uendelezaji na matumizi endelevu ya rasilimali ya uvuvi.
 Kukagua ubora wa Samaki na mazao ya uvuvi na kuweka viwango vya Kitaifa.
1.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wenye Shahada ya kwanza (Bachelor Degree) katika fani za Sayansi ya Uvuvi (Fisheries Science/Management, Zoology, Microbiology, Marine Biology, Food Science and Aquaculture).
1.3 MSHAHARA
 Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS D kwa mwezi.
2.0 MVUVI MSAIDIZI DARAJA LA II (FISHERIES ASSISTANT II) – NAFASI 18
2.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kutengeneza, Kushona, Kutunza na Kukarabati zana za uvuvi.
 Kutunza na kuangalia mabwawa ya samaki.
 Kutega mitego Ziwani au Baharini.
 Kutengeneza nyavu ndogo ndogo.
 Kuwapa chakula samaki katika mabwawa.
 Kuvua samaki katika mabwawa.
 Kutoa ushauri kwa wavuvi kuhusu mbinu mbalimbali za uvuvi.
 Kukusanya takwimu za uvuvi kutoka kwenye vituo vya kupokelea samaki.
 Kutoa ushauri juu ya uhifadhi wa samaki na mbinu za usambazaji na uuzaji wa mazao yatokanayo na samaki.
 Kuwaelimisha wananchi juu ya ufugaji wa samaki na mambo muhimu ya kuzingatia.
2.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha nne au cha sita wenye stashahada (Diploma) ya Uvuvi au Uhifadhi wa Samaki na Masoko (Fish Processing & Marketing) kutoka vyuo vya uvuvi vya Mbegani, Kunduchi au vyuo vingine vinavyotambuliwa na Serikali.
7
2.3 MSHAHARA
 Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali TGS C kwa mwezi
3.0 AFISA MIFUGO MSAIDIZI DARAJA LA II (LIVESTOCK FIELD OFFICER II) – NAFASI 473
3.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Atafanya uchunguzi wa magonjwa ya mifugo kwa wafugaji wa eneo lake.
 Kwa kushirikiana na wakaguzi wa afya, atakagua nyama na usafi wa machinjio mara kwa mara.
 Atakusanya takwimu za nyama na mazao yatokanayo na mifugo k.m ngozi na kuandika ripoti.
 Atatibui magonjwa ya mifigo chini ya usimamizi wa Daktari wa mifugo na kushauri wafugaji jinsi ya kukinga mifugo dhidi ya magonjwa.
 Atatembelea wafugaji mara Kwa mara na kuwapa ushauri fasaha wa kitaalam katika eneo Lake Kazi.
 Atakusanya takwimu zote za maendeleo ya mifugo katika eneo lake .
 Atashauri na kusimamia ujenzi wa majosho, machinjio, vibanio na miundo mbinu inayohusiana na ufugaji bora.
 Atahusika na uhamilishaji (Artificail Insemination) na uzalishaji (breeding) wa mifugo kwa ujumla.
 Atashauri wafugaji kuhusu mbinu bora za kuzalisha maziwa na utunzaji wa ndama.
 Atafanya kazi nyingine za fani yake kama atakavyopangiwa na mkuu wake wa kazi.
3.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha VI waliofuzu mafunzo ya Stashahada (Diploma) ya mifugo kutoka chuo cha Kilimo na Mifugo (MATI au LITI) au chuo kingine chochote kinachotambuliwa na Serikali.
3.3 MSHAHARA
 Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali TGS C kwa mwezi
4.0 AFISA MIFUGO DARAJA LA II (LIVESTOCK OFFICER II) – NAFASI 107
4.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Atabuni mipango ya uzalishaji mifugo wilayani.
 Ataratibu uzalishaji wa mifugo katika mashamba makubwa ya mifugo.
8
 Atasaidia kuratibu mipango ya ugani kuhusiana na uzalishaji wa mifugo wilayani.
 Ataratibu na kuendesha mafunzo ya ufugaji bora, usindikaji wa mazao ya mifugo kwa wataam wa mifugo na wafugaji.
 Atafanya mapitio na marekebisho ya miundo ya masoko ya mifugo wilayani kwake na mkoani.
 Atabuni, kuanzisha na kutekeleza miradi ya maendeleo ya mifugo wilayani.
 Atafanya soroveya ya rasilimali (resource survey) kama vile mifugo, vyakula vya mifugo, malisho n.k. katika eneo lake la kazi.
 Ataendesha mafunzo kwa Mawakala, wauzaji na wataalam juu ya njia salama katika kuweka na kusambaza pembejeo za mifugo.
 Atatafiti maeneo mapya yanayofaa kwa ufugaji wa mifugo mbalimbali
 Atafanya utafiti juu ya uharibifu wa mazingira katika wilaya.
 Atashiriki katika shughuli za kudhibiti milipuko ya wanyama/viumbe waharibifu wa malisho.
 Ataandaa taarifa ya jumla juu ya maendeleo ya mifugo.
 Atafuatilia, kuweka, kuchambua na kutafsiri takwimu za uzalishaji wa mifugo.
 Atafanya kazi nyingine zinazohusiana na fani yake kama atakavyoelekezwa na mkuu wake wa kazi.
4.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wenye shahada ya kwanza (bachelor degree) ya sayansi ya Mifugo (Animal Science) kutoka Chuo Kikuu kinachotambuliwa na Serikali au sifa inayolingana nayo.
4.3 MSHAHARA
 Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali TGS D kwa mwezi
5.0 MTEKNOLIJIA WA SAMAKI DARAJA LA II (FISH TECHNOLOGISTS II) – NAFASI 4
5.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kutoa ushauri juu ya utayarishaji, utengenezaji, ukaushaji na uhifadhi wa samaki na mazao yatokanayo na uvuvi.
 Kusimamia kushauri juu ya kanuni za uthibiti ubora wa Samaki na mazao yake
 Kutoa ushauri juu ya matumizi mbalimbali ya samaki kama chakula bora katika Viwanda na maeneo mengine.
 Kudhibiti ubora wa samaki katika mialo.
 Kudhibiti usafi katika maeneo ya kupokelea samaki.
 Kukagua nyaraka mbalimbali zinazotakiwa kutunzwa melini na viwandani.
5.2 SIFA ZA MWOMBAJI
9
 Kuajiriwa wenye Shahada ya kwanza (bachelor degree) ya Sayansi ya Chakula (Food Science and Nutrition, Food Technology, Microbiology) kutoka vyuo vikuu vinavyotambuliwa na Serikali.
5.3 MSHAHARA
 Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali TGS D kwa mwezi
6.0 DAKTARI WA MIFUGO DARAJA LA II (VETERINARY OFFICERS) – NAFASI 19
6.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kutoa huduma za afya ya mifugo
 Kufanya uchunguzi wa magonjwa ya mifugo katika eneo au sehemu alipo.
 Kutayarisha na kusimamia mipango ya kuzuia, kudhibiti na kutokomeza magonjwa ya mifugo katika eneo lake.
 Kushiriki katika uchunguzi wa magonjwa ya wanyama pori katika eneo lake.
6.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wenye Shahada ya kwanza (bachelor degree) ya Tiba ya Mifugo kutoka Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo au Chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali na wawe wamesajiliwa na Bodi ya Madaktari wa Mifugo nchini.
6.3 MSHAHARA
 Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali TGS E kwa mwezi
7.0 AFISA UTAFITI MIFUGO DARAJA LA II (LIVESTOCK RESEARCH OFFICER II) – NAFASI 9
7.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kujifunza kumudu mbinu na taratibu za utafiti wa mifugo/ndorobo
 Kufanya utafiti chini ya usimamizi wa Afisa Utafiti Mwandamizi.
 Kuandika na Kuweka kumbukumbu za utafiti.
 Kusaidia kuendesha semina na maonyesho ya ufugaji bora.
 Kuandaa mapendekezo ya utafiti (Research Proposals) kwa kushirikiana na Afisa Utafiti Mifugo anayesimamia.
 Kufanya kazi zozote kama atakavyoelekezwa na mkuu wake wa kazi.
7.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wenye Shahada ya kwanza (bachelor degree) ya Sayansi ya Mifugo kutoka Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo au Chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali.
7.3 MSHAHARA
 Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali TGS D kwa mwezi
10
8.0 DAKTARI UTAFITI MIFUGO DARAJA LA II (VETERINARY RESEARCH OFFICER II) – NAFASI 5
8.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kujifunza na kumudu mbinu na taratibu za utafiti wa afya na maradhi ya mifugo
 Kuweka kumbukumbu za utafiti
 Kusaidia kuendesha semina na maonyesho ya ufugaji bora.
 Kuandaa mapendekezo ya utafiti (“research proposal”) kwa kushirikiana na Daktari Utafiti Mifugo anayemsimamia.
 Kufanya utafiti chini ya usimamizi wa Daktari Utafiti Mwandamizi
 Kukusanya na kuchambua takwimu za utafiti unaoendelea.
 Kuchapisha taarifa na makala za utafiti
 Kuendesha semina na maonyesho ya ufugaji bora.
8.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wenye Shahada ya kwanza (bachelor degree) katika fani ya Sayansi ya Tiba ya Mifugo (“Veterinary Science) kutoka Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo au chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali. Wawe wamesajiliwa na Bodi ya Madaktari wa Mifugo nchini.
8.3 MSHAHARA
 Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali TGS E kwa mwezi
9.0 FUNDI SANIFU MAABARA MIFUGO DARAJA LA II (VETERINARY LABORATORY TECHNICIAN II) – NAFASI 6
9.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kwa kushirikiana na Afisa Mifugo Msaidizi, atafanya uchunguzi wa magonjwa ya mifugo katika eneo lake.
 Atakusanya sampuli kwa ajili ya uchunguzi wa maabara.
 Kuwasaidia wataalam kuanda vifaa vya uchunguzi
 Kutunza Usafi wa Maabara na vyombo vilivyomo.
 Kutunza takwimu za uchunguzi
 Atafanya kazi zingine zozote kama atavyopangiwa na mkubwa wake wa kazi
9.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wahitimu wa Kidato cha sita (VI) waliofuzu mafunzo ya miaka miwili (2) ya Stashahada katika fani ya Fundi Sanifu Maabara (Mifugo) kutoka Chuo cha Mifugo (LITI), au chuo kingine kinachotambiliwa na serikali.
9.3 MSHAHARA
 Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali TGS C kwa mwezi
11
10.0 MKUFUNZI MIFUGO DARAJA II (LIVESTOCK TUTOR II) – NAFASI 5
10.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kutafsiri mihutasari ya mafunzo kwenye masomo.
 Kuandaa mtiririko wa kila somo (Lesson Plan) kwa upande wa nadharia na vitendo.
 Kufundisha kozi za stashahada na astashahada kwa upande wa nadharia na vitendo.
 Kuandaa na kupanga somo la vitendo na kusimamia wanachuo wakati wa kujifunza.
 Kupima maendeleo ya wanachuo kwenye mitihani kwa kipindi chote kinachohusika na kutunza alama zao.
 Kupima maendelo ya wanachuo kwa kushirikiana na maofisa mifugo wa wilaya, viwandani wakati wa mafunzo kwa vitendo.
 Kufanya kazinyingine zozote za fani yake atakavyopangiwa na mkuu wake wa kazi.
10.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wenye shahada ya kwanza (bachelor degree) ya Sayansi ya Mifugo kutoka Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo au chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali.
10.3 MSHAHARA
 Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali TGS D kwa mwezi
11.0 MKUFUNZI WA MIFUGO MSAIDIZI (ASSISTANT LIVESTOCK TUTOR) – NAFASI 3
11.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kuandaa mtiririko (Lesson Plan) wa masomo
 Kufundisha kozi ya astashahada ya mifugo na wafugaji.
 Kusimamia masomo ya vitendo chini ya usimamizi wa Mkufunzi Mkuu wa somo
 Kuandaa na kupanga vifaa kwa ajili ya somo la vitendo
 Kuwapima wanachuo wakati wa mazoezi ya somo la vitendo
 Anaweza kuteuliwa kuwa Mkuu wa Kitengo (dairy, poultry, maabara, museum, nk).
 Kufanya kazi nyingine kadri atakavyopangiwa na mkuu wake wa kazi.
11.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha sita (VI) waliofuzu mafunzo ya Stashahada ya mifugo kutoka MATI/LITI au chuo kingine chochote kinachotambuliwa na Serikali.
11.3 MSHAHARA
12
 Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali TGS C kwa mwezi
12.0 DAKTARU MIFUGO MKUFUNZI DARAJA LA II (VETERINARY TUTOR II) – NAFASI 1
12.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kutafsiri mihutasari ya mafunzo kwenye masomo
 Kuandaa mtiririko wa kila somo (lesson plan) kwa upande wa nadharia na vitendo
 Kufundisha kozi za stashahada na astashahada kwa upande wa nadharia na vitendo.
 Kuandaa na kupanga somo la vitendo na kusimamia wanachuo wakati wa kujifunza
 Kupima maendeleo ya wanachuo kwenye mitihani kwa kipindi chote kinachohusika na kutunza alama zao.
 Kupima maendeleo ya wanachuo kwa kushirikiana na madaktari /maofisa mifugo wa wilaya, wakati wa mafunzo kwa vitendo (Field Practicals).
 Kufanya kazi nyingine zozote kadri atakavyopangiwa na mkuu wake wa kazi.
12.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wenye Shahada ya kwanza ya Sayansi ya Tiba ya Mifugo kutoka Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo au chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali. Wawe wamesajiliwa na Bodi ya Madaktari Tanzania.
12.3 MSHAHARA
 Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali TGS E kwa mwezi
13.0 MTEKINOLOJIA WA SAMAKI MSAIDIZI DARAJA LA II (ASSISTANT FISH TECHNOLOGIST II) – NAFASI 6
13.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kutengeneza na kuhifadhi samaki
13.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha nne au sita waliofuzu mafunzo ya miaka miwili ya uhifadhi na biashara ya samaki (Fish Processing and Marketing) kutoka chuo cha maendeleo ya uvuvi Mbegani au chuo chochote kinachotambuliwa na serikali.
13.3 MSHAHARA
 Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali TGS B kwa mwezi
14.0 MUUNDA BOTI DARAJA II (BOAT BUILDER II) – NAFASI 2
14.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kusaidia kuunda boti za uvuvi
 Kuwashauri wavuvi juu ya utunzaji na matumizi ya boti
13
 Kufanya matengenezo ya boti.
 Kusaidia kutafsiri/kusoma michoro ya kiufundi ya boti.
 Kuandaa vifaa kwa ajili ya ujenzi wa boti.
14.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wenye stashahada ya Uundaji boti kutoka chuo cha Mbegani au chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali.
14.3 MSHAHARA
 Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali TGS C kwa mwezi
15.0 DEREVA WA VIVUKO DARAJA LA II (FERRY / BOAT OPERATOR) – NAFASI 1
15.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kufunga na kufungua kamba za kivuko.
 Kuchunga usalama wa abiria na magari yaliyomo ndani ya kivuko.
 Kupanga abiria au magari kwenye kivuko.
 Kuendesha na kuongoza kivuko.
 Kutunza daftari za safari ya kivuko.
 Kuhakikisha kwamba injini za kivuko zipo katika hali nzuri ya kufanya kazi.
 Kuangalia mafuta na vyombo vingine vya kufanyia kazi.
15.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa waliohitimu Mtihani wa Kidato cha IV, wenye Ujuzi wa kuendesha na kutunza Mashua/Kivuko uliothibitishwa na Chuo cha Dar es Salaam Marine Institute au Chuo kingine chochote kinachotambuliwa na Serikali kwa muda usiopungua miaka miwili; na waliofuzu mafunzo ya miezi sita ya uokoaji wa maisha majini, kuogelea na kupanga watu na magari kwenye mashua/vivuko.
15.3 MSHAHARA
 Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGOS.A kwa mwezi.
16.0 MSAIDIZI MIFUGO (LIVESTOCK FIELD ASSISTANTS) – NAFASI 209
16.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kutoa huduma za ugani katika uendelezaji mifugo na mazao yake,
 Kutibu mifugo na kutoa taarifa za magonjwa, tiba na chakula,
 Kusimamia utendaji kazi wa wahudumu mifugo,
 Kutunza takwimu na taarifa mbalimbali za mifugo,
14
 Kukaguo ubora wa mazao ya mifugo,
 Kusimamia ustawi wa wanyama,
 Kufanya kaza nyingine atakazo pangiwa na msimamizi wake wa kazi zinazohusiana na fani yake.
16.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha IV ambao wamepata mafunzo ya mifugo ya muda wa miaka miwili na kutunukiwa Astashahada (certificate) ya uzalishaji na afya ya mifugo kutoka vyuo vya mafunzo ya mifugo. (Livestock Training Institute – LITI) au chuo chochote kinachotambuliwa na serikali.
16.3 MSHAHARA
 Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGS B Kwa mwezi.
17.0 AFISA KILIMO DARAJA LA II (AGRO – OFFICERS) – NAFASI 200
17.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kuthibiti visumbufu vya mazao na mimea,
 Kukusanya takwimu za bei za mazao kila wiki na kila mwezi,
 Kukusanya takwimu za upatikanaji wa mazao katika masoko kila wiki/kila mwezi,
 Kuendesha mafunzo ya wataalam wa kilimo,
 Kufanya ukaguzi wa ubora na matumizi ya pembejeo na zana,
 Ufuatiliaji wa mwenendo wa soko la mazao ya biashara,
 Kuendesha mafunzo juu ya hifadhi bora ya udongo na maji,
 Kutoa habari juu ya teknolojia mpya kwa wadau,
 Kuandaa/kuandika taarifa za utekelezaji kwa sekta ndogo ya mazao,
 Kusimamia/kuendeleza taaluma ya uzalishaji mboga, matunda, maua na mazao mengine,
 Kusimamia/kuendeleza uzalishaji wa mbegu bora,
 Kuandaa, kutayarisha kufunga na kusambaza mbegu bora,
 Kufanya majaribio ya magonjwa kwenye mbegu,
 Kufanya ukaguzi wa mbegu mpya kwa kushirikiana na watafiti wa mbegu kabla ya kupitishwa,
 Kuendesha mafunzo ya kuzalisha mboga, matunda, maua na viungo,
 Kuhamasisha uzalishaji wa mazao ya bustani,
 Kufanya utafiti mdogo mdogo wa mazao yanayofaa kulimwa katika sehemu ya kilimo cha umwagiliaji,
 Kufanya utafiti wa udongo,
 Kuhamasisha uanzishaji wa vikundi vya wakulima/wamwagiliaji,
 Kuzalisha mbegu za msingi baada ya kuzalishwa na watafiti,
 Kuendesha/kusimamaia vishamba vya majaribio vya mbegu na uchunguzi maabara ili kuondoa utata juu ya mbegu.
15
17.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wenye shahada ya kwanza (bachelor degree) ya kilimo au shahada ya sayansi waliojiimarisha katika mchepuo wa kilimo kutoka Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine au Vyuo vingine vinavyotambuliwa na Serikali.
17.3 MSHAHARA
 Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGS D Kwa mwezi.
18.0 AFISA KILIMO MSAIDIZI DARAJA LA II (AGRICULTURAL FIELD OFFICERS) – NAFASI (1098)
18.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kushirikiana na watafiti kuendesha vishamba vya majaribio,
 Kukusanya/kuhifadhi takwimu za majaribio,
 Kuwafundisha wakulima mbinu za kilimo bora,
 Kuwafikishia wakulima matokeo ya utafiti,
 Kuwafundisha wakulima mbinu bora za kilimo, matumizi ya mbolea na madawa, pembejeo za kilimo,
 Kukusanya na kutunza takwimu za mazao na bei kwa wiki mwezi, robo na mwaka ngazi ya halmashauri,
 Kukusanya takwimu za mvua,
 Kushiriki katika savei za kilimo,
 Kushirikiana na vikundi vya wakulima kuhusu matatizo na teknolojia sahihi za kutumia,
 Kupanga mipango ya uzalishaji,
 Kupima uotaji wa mbegu na kusimamia taratibu za ukaguzi,
 Kutathmini na kusavei maeneo ya vyanzo vya maji kwa ajili ya kuhifadhi,
 Kutunza miti mizazi,
 Kuwatambua wasambazaji wa pembejeo,
 Kutoa mafunzo ya lishe kwa wakulima,
 Kufanya vipimo vya ubora, unyevunyevu na uotaji wa mbegu,
 Kusimamia taratibu za ukaguzi,
 Kudhibiti visumbufu vya mazao na mimea,
 Kusimamia shughuli za kila siku za majaribio ya kilimo,
 Kuwaelimisha wakulima juu ya matumizi bora ya udongo na maji,
 Kutoa ushauri wa kilimo mseto,
 Kuandaa sheria ndogo za hifadhi ya mazingira na
 Kutoa taaluma ya uzalishaji wa mboga, matunda, maua na viungo.
18.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wahitimu wa Kidato cha Sita (VI) wenye stashahada (Diploma) ya kilimo kutoka vyuo vinavyotambuliwa na Serikali.
16
18.3 MSHAHARA
 Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGS B Kwa mwezi.
19.0 MHANDISI KILIMO DARAJA LA II (AGRO – ENGINEERS) – NAFASI 82
19.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kuandaa program za mafunzo kwa wakulima kutumia zana za kilimo,
 Kushiriki katika kufundisha wakulima na matumizi bora ya zana,
 Kushiriki kutengeneza michoro/ramani za umwagiliaji,
 Kushiriki katika ujenzi wa miradi ya umwagiliaji,
 Kushirikiana na mafundi sanifu kuwafunindisha wakulima uendeshaji wa skimu za umwagiliaji,
 Kukusanya takwimu za miradi ya umwagiliaji,
 Kushiriki kuratibu na kutoa huduma za umwagiliaji kwa vikundi vya umwagiliaji pamoja na matumizi ya maji,
 Kuandaa mafunzo/maonyesho ya matumizi ya za za kilimo,
 Kufuatilia program za mafunzo ya wanyama kazi, mafundi wa matrekta na wakulima jinsi ya matumizi ya wanyama na matrekta,
 Kuwafundisha wakulima ujenzi wa vihengo bora na
 Kushughulikia ubora wa zana na kuwashauri waagizaji na watengenezaji ipasavyo.
19.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wenye shahada ya kwanza (Bachelor Degree) ya uhandisi yenye mwelekeo mkubwa katika fani ya Kilimo cha umwagiliaji na cha zana kutoka Chuo Kikuu kinachotambuliwa na Serikali.
19.3 MSHAHARA
 Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGS E Kwa mwezi.
20.0 FUNDI SANIFU DARAJA LA II – NAFASI 74
20.1 MAJUKUMU YA KAZI
Fani ya Kilimo
 Kutoa ushauri kwa wakulima kuhusu matumizi bora ya zana za kilimo kwa vitendo,
 Kuwafundisha wakulima kutengeneza na kufanya matengenezo ya zana za kilimo,
 Kuendeleza kilimo cha zana,
 Kukusanya na kutunza takwimu za zana za kilimo,
 Kukusanya na kutunza takwimu za kilimo cha umwagiliaji,
 Kusaidia katika ujenzi wa mifereji ya umwagiliaji,
 Kushiriki katika savei kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji,
 Kushiriki katika ujenzi wa malambo madogo.
Fani ya Maabara
17
 Kufanya mchanganuo (analysis) kikemikali ili kuthibitisha/kutathmini udongo, mimea na mbolea na vielelezo (samples) vinavyohusika kwenye maabara.
 Kutunza vyombo vya maabara,
 Kutunza kumbukumbu za maabara,
 Kutambua, kuthibitisha na kuweka kumbukumbu za takwimu za vidudu mbalimbali vinavyosababisha magonjwa ya mimea,
 Kusaidia kaza za watafiti,
 Kwenda mashambani kuchukua sampuli zinazohitajika kwa uchunguzi katika maabara.
20.2 SIFA ZA MWOMBAJI
Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha Sita (VI) waliofuzu mojawapo ya mafunzo yafuatayo:
 Mafunzo ya miaka miwili (2) ya stashahada (Diploma) ya ufundi sanifu wa vyombo vya kilimo (agro-mechanics), au ufundi sanifu Umwagiliaji maji, na `Agricultural land use technician`
 Mafunzo ya miaka miwili (2) ya stashahada (Diploma) ya ufundi sanifu wa Maabara,
 Mafunzo ya Taasisi za ufundi (VETA)
 Au sifa zinazolingana na hizo kutoka kaitka vyuo vinavyotambuliwa na Serikali.
20.3 MSHAHARA
 Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGS C Kwa mwezi.
21.0 AFISA UTAFITI KILIMO DARAJA LA II (AGRICULTURAL RESEARCH OFFICER II) – NAFASI 24
21.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kusaidia kuandika na kukusanya ripoti za utafiti wa kilimo/uchumi kilimo chini ya maelekezo ya afisa utafiti mwandamizi,
 Kukusanya, kurekodi na kuchanganua takwimu za kazi za utafiti zinazoendelea,
 Kuhudhuria mikutano ya Kanda ya kuhuisha programu za utafiti,
 Kusaidia katika kuendesha semina na kuwaelekeza wakulima jinsi ya kutumia teknolojia mpya kwa kuzingatia hali ya uchumi na mazingira yao,
 Kutoa ripoti ya maendeleo ya utafiti na mapendekezo ya utafiti katika mikutano ya kanda ya kuhuisha program za utafiti,
 Kufanya shughuli za utafiti chini ya maelekezo na uangalizi wa afisa utafiti mwandamizi,
 Kuandika mapendekezo ya utafiti chini ya uongozi wa afisa utafiti mwandamizi,
 Kuandika ripoti za miradi ya utafiti kwa ajili ya kupitishwa na afisa utafiti mwandamizi,
 Kufanya majaribio ya husishi ya kilimo ma mifugo katika mashamba ya wakulima kwa kushirikiana na Maafisa Ugani na wakulima wenyewe na
 Kufanya kazi zozote kama atakavyoelekezwa na mkuu wake wa kazi.
18
21.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wenye shahada ya kwanza (bachelor degree) ya Kilimo/Uchumi Kilimo/Uhandisi Kilimo, au sifa inayolingana na hizo kutoka Chuo Kikuu kinachotambuliwa na Serikali.
21.3 MSHAHARA
 Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGS D Kwa mwezi.
22.0 MKUFUNZI WA KILIMO MSAIDIZI (AGRICULTURAL TUTOR) – NAFASI 22
22.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kuandaa mtiririko wa mpangilio wa masomo (lesson sequences and plans),
 Kuandaa na kufundisha masomo ya kozi za astashahada,
 Kusimamia masomo ya vitendo vya kozi za stashahada chini ya usimamizi wa mkufunzi mkuu wa somo,
 Kuandaa na kupanga vifaa kwa ajili ya somo la vitendo kwa kozi stashahada,
 Kuwapima wanachuo wakati wa mazoezi ya somo la vitendo kwa kozi za astashahada,
 Kupima maendeleo ya wanachuo wa astashahada kwenye mitihani kwa kipindi chote kinachohusika na kutunza alama zao na
 Kutekeleza shughuli nyingine za kikazi kadri atakavyopangiwa na Mkuu wake wa kazi.
22.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wahitimu wa Kidato cha sita waliofuzu mafunzo ya Stashahada (Diploma) ya Kilimo kutoka MATI au chuo kingine chochote kinachotambuliwa na Serikali.
22.3 MSHAHARA
 Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGS C Kwa mwezi.
23.0 AFISA KILIMO MSAIDIZI DARAJA LA III (AGRICULTURAL FIELD OFFICERS) – NAFASI 362
23.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kushirikiana na wakulima kuendesha mashamba ya majaribio na mashamba darasa,
 Kutembelea wakulima/vikundi vya wakulima katika mashamba yao na kutoa ushauri wa kitaalamu juu ya mbinu bora na za kisasa za kilimo cha kibiashara,
 Kufundisha na kuelekeza wakulima juu ya matumizi bora ya mbolea, madawa na zana za kilimo,
 Kukusanya na kutunza takwimu za hali ya kilimo katika kijiji,
 Kubuni na kuandaa vihenge vya kisasa vya hifadhi ya mazao na kutoa elimu ya matumizi sahihi ya mazao,
 Kutoa taarifa juu ya dalili za kuwepo visumbufu vya mimea na mazao,
19
 Kuandaa na kutumia daftari la kilimo katika kutekeleza majukumu yake ya kila siku,
 Kushiriki katika mchakato wa kuibua fursa na vikwazo vya maendeleo (Opportunities and Obstacles for Development (O & OD) na kuandaa mpango wa maendeleo ya kilimo wa kijiji (Village Agricultural Development Plan (VADP), na
 Kuandaa taarifa ya utekelezaji ya kila mwezi kuiwasilisha kwa Afisa Ugani wa Kata na nakala kuiwasilisha kwa Afisa Mtendaji wa Kijiji.
23.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa waliohitimu kidato cha nne wenye stashahada (Diploma) ya Kilimo kutoka vyuo vinavyotambuliwa na Serikali.
23.3 MSHAHARA
 Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGS B Kwa mwezi.
24.0 DEREVA DARAJA LA II (DRIVER II) – NAFASI 100
24.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kuendesha magari ya abiria, magari madogo na malori
 Kuhakikisha gari na vyombo vyake vipo katika hali nzuri wakati wote, na kufanya uchunguzi wa gari kabla na baada ya safari ili kugundua ubovu unaohitaji matengenezo,
 Kufanya matengenezo madogo madogo katika gari,
 Kutunza na kuandika daftari la safari “Log-book” kwa safari zote.
24.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wenye Cheti cha Mtihani wa Kidato cha IV, Wenye Leseni daraja la “C” ya uendeshaji pamoja na uzoefu wa kuendesha magari kwa muda usiopungua miaka mitatu bila kusababisha ajali na wenye Cheti cha Majaribio ya ufundi Daraja la II (Trade test II).
24.3 MSHAHARA
 Kwa kuzingatia viwango vya Serikali ngazi ya Mshahara TGOS.A kwa mwezi.
25.0 MLINZI (SECURITY GUARD) – NAFASI 2.
25.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kuhakikisha kwamba mali yoyote ya ofisi inayotolewa langoni (nje ya ofisi) ina hati ya idhini.
 Kuhahikisha kuwa mali yote inayoingizwa langoni inazo hati za uhalali wake.
 Kulinda usalama wa majengo, ofisi na mali za ofisi mchana na usiku.
 Kuhakikisha kwamba milango na madirisha yote yamefungwa ipasavyo mwisho wa saa za kazi.
20
 Kuhakikisha kwamba wageni wote wanaoingia katika eneo la ofisi wana idhini ya kufanya hivyo.
 Kupambana na majanga yoyote yatakayotokea katika sehemu ya kazi kama vile, moto, mafuriko n.k na kutoa taarifa katika vyombo vinavyohusika kama vile, moto, mafuriko n.k na kutoa taarifa katika vyombo vinavyohusika.
 Kutoa ushauri wa jinsi ya kuboresha huduma ya ulinzi mahali pa kazi.
25.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wahitimu wa Kidato cha Nne waliofuzu mafunzo ya mgambo/polisi/JKT au Mafunzo ya Zimamoto kutoka katika chuo kinachotambuliwa na Serikali.
25.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia viwango vya Serikali ngazi ya mshahara TGOS.A kwa mwezi.
2.0 BARAZA LA KISWAHILI LA TAIFA (BAKITA)
Baraza la Kiswahili la Taifa (BAKITA) ni Taasisi ya Serikali iliyoanzishwa kwa Sheria ya Bunge Na 27 ya mwaka 1967.
2.1 MHASIBU MKUU DARAJA II - NAFASI 1
2.1.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kuratibu kazi ya kujibu hoja za ukaguzi.
 Kuandaa hesabu za mwisho wa mwaka wa fedha.
 Kuandaa na kuoanisha taarifa za mwezi za Benki.
 Kuandaa taarifa za ukaguzi wa fedha za mwaka.
 Kusimamia, kuthibitisha na kuidhinisha malipo.
 Kufanya kazi zingine kama atakavyoagizwa na msimamizi wake wa kazi.
2.1.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa mwenye Shahada ya Uzamili ya Uhasibu/ Biashara yenye mwelekeo wa Uhasibu kutoka Chuo/Taasisi yoyote inayotambuliwa na Serikali.
 Awe na CPA (T).
 Mwenye uwezo wa kutumia mifumo ya kompyuta ya kiuhasibu.
 Awe na uzoefu wa kazi usiopungua miaka nane (8) mfululizo katika fani ya uhasibu.
2.1.3 MSHAHARA: PGSS 17
2.2 MSANIFU LUGHA MKUU III - NAFASI 1
2.2.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kufanya utafiti kuhusu istilahi za masomo na kukusanya mapendekezo ya istilahi za Nyanja nyinginezo.
 Kusimamia mawasiliano baina ya Taasisi na wadau wanaohitaji huduma za kusanifu Istilahi au msamiati.
 Kusimamia kazi za utayarishaji wa tafsiri sanifu.
 Kuratibu Warsha, Semina na Mikutano ya Kamati ya Usanifishaji.
21
 Kusimamia sehemu ya Kamusi.
 Kusimamia kazi ya kukusanya na kuchambua istihali mbalimbali kwa ajili ya usanifishaji.
 Kuratibu shughuli za Usanifishaji Lugha.
 Anaweza kuteuliwa kuwa Mkuu wa Idara.
 Kufanya kazi nyingine atakayopangiwa na mkuu wake wa kazi.
2.2.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa mwenye Shahada ya Uzamili/Uzamivu katika masomo ya Fasihi, Lugha au Isimu ya Kiswahili
 Awe na uzoefu wa kazi katika fani hiyo usiopungua miaka minane (8).
 Awe na uwezo wa kutumia kompyuta
 Awe ameandika makala au kitabu kinachohusu fasihi au isimu ya lugha ya Kiswahili.
2.2.3 MSHAHARA: PTSS 17
3 .0 WAKALA WA VIPIMO
Wakala wa Vipimo ni Taasisi (Wakala) ya Serikali iliyo chini ya Wizara ya Viwanda na Biashara. Taasisi hii iliundwa kwa mujibu wa Sheria za Serikali Sura Na. 245, mapitio ya mwaka 2002. Wakala wa Vipimo ilianzishwa rasmi tarehe 13 Mei, 2002 kwa amri ya Seriakali Na. 194 (Government Order No. 194) na kutangazwa tarehe 17 Mei, 2002. Chini ya sheria hiyo, Wakala wa Vipimo ina jukumu la kumlinda malaji Kwa kuhakiki vipimo vyote vinavyotumika katika sekta za Biashara, Afya, Usalama na Mazingira
3.1 AFISA VIPIMO II – NAFASI 2
3.1.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kukagua, kuhakiki na kuvirekebisha vipimo vya wafanyabiashara;
 Kutunza, kuhifadhi vifaa vya kitaalam vitumikavyo katika utendaji wa kazi;
 Kutoa ushauri kuhusu masuala ya uhakiki na matumizi ya vipimo;
 Kufanya upelelezi kuhusu ukiukwaji wa Sheria ya Vipimo
 Kupokea na kufanyia kazi malalamiko ya wadau na waateja;
 Kufanya kazi nyingine kama atakavyopangiwa na kiongozi wake zinazohusiana
na elimu na ujuzi wa kazi
3.1.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wenye Shahada ya kwanza katika fani ya “Legal Metrology” au “Legal and Industrial Metrology” toka katika Chuo kinachotambuliwa na Serikali. Au
 Kuajiriwa wenye Shahada ya kwanza ya Uhandisi/Sayansi ambao wamepata “Crash programme” ya “Legal and Industrial Metrology” isiyopungua miezi minne (4) toka Chuo kinachotambuliwa na Serikali.
 Kuajiriwa wenye shahada ya kwanza ya Uhandisi/Sayansi ambao wamehitimu Stashahada ya Uzamili (Postgraduate Diploma) katika fani ya vipimo katika Chuo kinachotambuliwa na Serikali.
22
 Kuajiriwa wenye Stashahada ya juu katika fani ya “Legal Metrology” /Legal and “Industrial Metrology” toka Chuo kinachotambuliwa na Serikali.
3.1.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia viwango vya Serikali ngazi ya mshahara (WMAS 3) kwa mwezi.
X. M. DAUDI
KATIBU- SEKRETARIETI YA AJIRA

Skylight Band- Nasaka Dough (Official Ogopa Video) (+playlist)

The Expendables 3 (2014) --- 20 NEW pics_STATHAM & STALLONE + New bikes ...

Expendables 3 - Official Trailer [HD] 2013

Uchambuzi Viwanja bora huongeza ubora wa Ligi Kuu

 Wachezaji wa Mbeya City wakishangilia baada ya kuifunga Prisons kwenye Uwanja wa Sokoine ambao ni kati ya viwanja vilivyofungiwa. Picha na maktaba. 
  • Viwanja vilivyofungiwa ni Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi wa Tabora, Uwanja wa Jamhuri wa Dodoma, Uwanja wa Sokoine wa Mbeya, Sheikh Amri Abeid wa Arusha, Kaitaba wa Bukoba, Mkwakwani wa Tanga na Majimaji wa Songea.
SHARE THIS STORY
0
S
  • Viwanja sita vyafungwa Ligi Kuu

BODI ya Ligi  Tanzania Bara (TPL)  imevifungia viwanja saba vinavyotumika kwa ajili ya Ligi Kuu  na Ligi Daraja la Kwanza Tanzania  Bara msimu huu.
Viwanja vilivyofungiwa ni Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi wa Tabora, Uwanja wa Jamhuri wa Dodoma, Uwanja wa Sokoine wa Mbeya, Sheikh Amri Abeid wa Arusha, Kaitaba wa Bukoba, Mkwakwani wa Tanga na Majimaji wa Songea.
TPL imevifungia viwanja hivyo kutokana na matatizo mbalimbali yakiwemo ya mapaa, majukwaa, sehemu ya vyumba vya kubadilishia nguo na eneo la kucheza mpira wa miguu.
Bodi ya Ligi imechukua hatua hiyo wakati Ligi Kuu Bara imesimama hadi mwishoni mwa Januari kwa hiyo kuna kipindi kirefu hadi vitumike kwa ligi hiyo.
Ni matarajio yetu kwamba wamiliki wa viwanja hivyo watachukua hatua thabiti katika kuvifanyia matengenezo viwanja vyao ili viwe kwenye hali nzuri kabla ya mashindano hayo kuanza tena.
Ieleweke kwamba hakuna maendeleo ya mpira wa miguu kama kutakuwa hakuna viwanja bora vya kuchezea kwani juhudi zote zingine zitakazofanywa hazitazaa matunda.
Viwanja ni moja ya nyenzo muhimu katika mpira wa miguu kwa hiyo ni muhimu kwa kila mdau kuelewa jambo hilo na wanaohusika kulitilia mkazo kwa kuwa na viwanja bora.
Inafurahisha pia kusikia kwamba Shirikisho la Soka la Tanzania (TFF) linaunga mkono hatua ya Bodi ya Ligi kuwa litaisaidia ili kuhakikisha kuwa mpira wa miguu unachezwa katika viwanja bora.
Lakini, ni  muhimu sana kwa TFF na Bodi ya Ligi kuhakikishwa kwamba viwanja ambavyo havikufanyiwa marekebisho yanayotakiwa havitumiki katika mzunguko wa pili wa ligi hizo.
Klabu za Tanzania zinapaswa kuwa na viwanja vyake, lakini ukweli ni kwamba baadhi ya klabu hizo hazina uwezo wa kumiliki au kujenga viwanja kwa ajili yao. Lakini, ziko klabu zenye uwezo wa kuwa na viwanja kama vile Simba na Yanga kutokana na rasilimali kubwa waliyonayo ikiwemo wingi wa wanachama na mashabiki wanaoziunga mkono.
Kwa hiyo, wakati umefika kwa klabu za Simba na Yanga kuwa na viwanja vya kisasa ambavyo watavitumia kwa kucheza mechi za nyumbani za Ligi Kuu na mechi za kirafiki.
Jambo hilo mbali na kuwapunguzia gharama za michezo pia zitawaongezea kipato na katika uwanja huo wanaweza kutoa ofisi na sehemu za kufanyia biashara ambazo zitawaingizia fedha nyingi.
Klabu za Simba na Yanga zina nafasi ya kuingia ubia na kampuni kadhaa zikiwemo benki katika mradi wa ujenzi wa uwanja wa kisasa ambao utakuwa ni kitega uchumi kikubwa.
Viongozi wa klabu hizo wanatakiwa kufungua macho na kuziona fursa za maendeleo ya klabu zao na kuzichangamkia badala ya kuziendesha klabu hizo kwa mtindo wa kizamani wa kutegemea mapato ya mlangoni tu.
Mapato ya mlangoni ni muhimu lakini yakiongezeka na vyanzo vingine vya mapato vitavijengea klabu hizo kuwa na uwezo mkubwa wa kifedha na kuwa na uwezo wa kusajili wachezaji bora zaidi na wakati huo wataanza kuwa na wazo la kuchukua ubingwa wa Afrika. Hakuna sababu yoyote ile kwa sasa ambayo inazifanya Simba na Yanga na hata Azam za Dar es Salaam kuwa zisiwe klabu kubwa na zinagombania vikombe vya Afrika kwenye hatua za fainali kila mwaka.

MBUNGE WA ARUSHA MJINI G. LEMA NA MKEWE WAZUNGUMZIA JUU YA WATU WALIOTENGENEZA PICHA CHAFU ZA LEMA AKIFANYA TENDO CHAFU NA MWANUME MWENZAKE....INASIKITISHA SANA

Mbunge wa Arusha mjini Godbles amekanusha  na kukemea vikali baadhi ya watu wanaomdhalilisha kwenye mitandao ya kijamii kwa kutengeneza na kusambaza picha chafu ambazo zinaonesha udhalilishaji mkubwa kwa mbunge na hata kwa mtu wa kawaida.


Akizungumza  na vyombo vya habari ofisini kwake jijini Arusha mbunge Lema amesema picha hizo za aibu zimetengezwa na kusambazwa na mtu ama watu wenye lengo la kumdhalilisha na tayari amekwishaanza hatua ya kuchukua hatua za  kufikisha suala hilo kwenye uongozi wa bunge akiwemo Spika Anne Makinda, naibu spika Job Ndugai pamoja na katibu wa bunge.

Amesema ameamua kutoa taarifa hiyo kwenye vyombo vya habari kwa sababu vitu vikishawekwa kwenye mitandao ya kijamii siyo siri tena hivyo anategemea bunge litaona wajibu na ni jinsi gani heshima ya mbunge imeshushwa na kudhalilisha kwa maksudi bila kujali utu na heshima ya mbunge.
 MSIKILIZE HAPA CHINI LEMA AKIZUNGUMZIA ALIVYODHALILISHWA Mbunge Lema amefafanua kwamba picha hizo hazijatengenezwa na mbunge wa Iramba Muhigulu Nchemba kama baadhi ya watu walivyomfikishia taarifa kwani akiwa bungeni mjini Dodoma alizungumza na Nchemba na kubaini kwamba alikuwa hajaziona picha hizo hivyo hakuwa anajua lolote juu ya suala hilo. MSIKILIZE LEMA HAPA AKISEMA NCHEMBA HAKUHUSKA KWENYE PICHA

BABU SEYA YAMEKWISHAAAAAAAAAAA!



MABERE Nyaucho Marando, wakili wa mwanamuziki maarufu nchini, Nguza Viking ‘Babu Seya’ na mwanaye Johnson Nguza ‘Papii Kocha’ amesema amemaliza kazi ya kuwatetea wafungwa hao waliohukumiwa kifungo cha maisha jela baada ya kukutwa na hatia ya kuwanajisi watoto 12 waliokuwa wakisoma Shule ya Msingi Mashujaa, Sinza jijini Dar es Salaam.
Babu Seya (wa pili kulia) na Papii Kocha (wa pili kushoto) wakiwa mahakamani kusikiliza rufaa yao.
Akizungumza na gazeti hili juzi, Marando alisema kazi aliyokusudia kuifanya ameimaliza, sasa anasubiri majaji waliosikiliza alichokisema ili watoe uamuzi wa mwisho lakini pia anamtegemea Mungu.
“Mimi kazi nimemaliza sasa nawasubiri hao wakubwa (majaji) ili wapime nilichowaambia kwa mujibu wa sheria na kisha watoe uamuzi, lakini pia namtegemea Mungu,” alisema Marando.
Alisema ameiomba Mahakama ya Rufaa Tanzania ifanye marejeo kuhusu hukumu iliyoitoa na ifute ushahidi uliowatia hatiani wateja wake hao na adhabu ya kifungo cha maisha jela wanayoitumikia kwa sasa.
Wakili wa mwanamuziki maarufu nchini, Nguza Viking ‘Babu Seya’ na mwanaye Johnson Nguza ‘Papii Kocha’, Mabere Marando.
Alipoulizwa alitumia muda gani kuwasilisha hoja zake hizo, Marando alisema takriban dakika 120 mbele ya jopo la majaji watatu wa mahakama hiyo, wakiongozwa na Jaji Nathalia Kimaro akisaidiana na Jaji Mbarouk Mbarouk na Jaji Salum Massati.
Akiwa mahakamani hapo, Marando alidai kuwa mahakama iliteleza katika kutoa uamuzi uliowatia hatiani na kuwafunga maisha wateja wake na kwamba kuteleza huko kunaonekana waziwazi.
Alifafanua kuwa wakati wakifanya majumuisho ya kesi hiyo, mahakama ilijiridhisha kwamba kulikuwa na makosa katika kupokea ushahidi wa watoto wanaodaiwa kufanyiwa vitendo hivyo.
Alidai kuwa ushahidi wa watoto hao ulichukuliwa bila ya kufuata taratibu za uchukuaji wa ushahidi wa watoto.
Alieleza kuwa mtoto anayesoma shule kuanzia ya msingi anapotoa ushahidi licha ya tahadhari, ana uwezo wa kutambua zuri na baya na kwamba lazima ushahidi wake uwekwe kwenye kumbukumbu ya maandishi na kwamba usipoonekana ushahidi wote ni batili na unaondolewa.
Babu Seya na Papii Kocha wakiwa na furaha wakati wakitoka katika Mahakama ya Rufaa Tanzania.
Katika shauri hilo upande wa Mkurugenzi wa Mashtaka uliwakilishwa na Mawakili Jackson Mlaki, Angaza Mwaipopo, Emakulata Banzi, Joseph Pande na Apimack Mbarouk ambao waliyapinga maombi hayo kuhusu marejeo kwa madai kuwa yamepelekwa mahakamani bila usahihi.
Mahakama hiyo imesema itatoa uamuzi wake siku itakayotangaza.
Babu Seya na Papii Kocha wako jela kwa makosa 10 ya kubaka watoto wa kike wenye umri kati ya miaka sita na minane na mengine 11 ya kulawiti watoto wa kike wenye umri kama huo.



Walidaiwa kutenda makosa hayo kati ya Aprili na Oktoba 2003 eneo la Sinza Kwaremy jijini Dar es Salaam.
Katika kesi hiyo, Mwalimu wa Shule ya Msingi Mashujaa, Sigirinda Ligomboka ambaye alishitakiwa kwa makosa mawili ya kumsaidia Babu Seya kutenda makosa hayo kwa kuwaruhusu baadhi ya wanafunzi hao kutoka madarasani, aliachiwa huru na Mahakama ya Kisutu.

JE WAJUA KUWA TANGAWIZI NI DAWA?



TANGAWIZI ni chakula cha asili chenye uwezo wa kupambana na ugonjwa wa kichefuchefu na kutapika. Uwezo huu hutokana na vitamin B6 iliyopo kwa kiasi kikubwa katika tangawizi ambayo ni maarufu duniani kote kwa matumizi kama kiungo ‘spice’ kwa vyakula vingine.

Vitamin B6 iligunduliwa mwaka 1934 na Dr. Paul Gyorgy huko Hungary na akabainisha wazi kuwa ml.100 za B6 ni dozi tosha kwa siku kwa wagonjwa wenye umri wa miaka 19 hadi 70 katika kupambana na kichefuchefu na hata kuzuia kutapika pia.
Tangawizi licha ya kuwa na uwezo wa kumaliza tatizo hili, bado imegundulika kuwa na uwezo tena wa kukinga maradhi ya uvimbe ndani ya mwili wa binadamu ambao husababisha wengi kupatwa na maradhi ya saratani za aina tofauti tokana na uvimbe huo.
Hata hivyo, ukiwa unatumia tangawizi katika kila mlo wako kwa muda mfupi tu utajikuta maumivu ya mgongo, kiuno, maungio ya miguu na mikono yamepungua na kama siyo kuisha kabisa. Hii ndiyo kazi halisi ya tangawizi duniani na leo ni fursa kwako kulijua hili.
Kichefuchefu ni ugonjwa unaowasumbua watu wengi duniani na chanzo kikiwa ni kupanda kwa joto la mwili kunakosababishwa na homa au maambukizi ya bakteria wa maradhi tofauti yakiwemo malaria pia. Hata hivyo, ugonjwa huu huwakumba sana akina mama wajawazito na kujikuta wakitapika mara kwa mara na kupoteza maji na madini mengi mwilini na kuhatarisha maisha yao wenyewe, watoto waliomo matumboni na pengine kuhatarisha maisha yao wote mama na mtoto.
Mbali na akina mama wajawazito kuugua ugonjwa huu watu wengine ambao hukumbwa na ugonjwa ni wasafiri wa baharini, wagonjwa wanaotumia dawa kali, watumiaji wa mihadarati, walaji wa vyakula vyenye sumu baridi, walevi wa kupindukia na pengine hata wanaokutana na harufu mbaya na kali kushinda uwezo wa kuimudu pia hupatwa na kichefuchefu na mwisho ni kutapika.
Ukiachana na sababu hizo, bado pia wagonjwa wa kidole tumbo yaani ‘appendix/appendiatis’ au hata wanaougua magonjwa ya mchafuko wa tumbo kama kuharisha na kipindupindu pia hupatwa na kichefuchefu na hutapika sana wanapokosa msaada wa tiba.
Kwa maradhi haya, kitu cha haraka kukifanya ni kunywa maji mengi huku ukijikongoja umwone daktari haraka kwa kuwa aina nyingi za maradhi haya huua haraka sana kwa kukosa maji na madini muhimu mwilini kwa kutapika. Ila, ulimwengu wa kisasa umetuletea teknolojia sahihi zinazokubalika duniani kote kwa kutengeneza vyakula lishe ambavyo ni mkandamizo wa vitamini, madini na tindikali muhimu kwa afya. Vyakula hivi vyenye kanuni ya vidongelishe na ungalishe vipo vya aina nyingi tu madukani na vinasaidia watu kupona maradhi mbalimbali bila kwenda hospitali.
Kama hujatumia tangawizi kwa muda mrefu na unajihisi kuwa na kichefuchefu mara kwa mara basi unaweza kuanza kutumia mara moja japo hutaona matokeo haraka ila ukitumia dawalishe ya B6 basi utapata nafuu haraka sana.
Akina mama wajawazito wao wanashauriwa kutumia dawalishe yao maalum iitwayo ‘Pregnancy Shake’ na MOM2B ya vidonge ambayo pamoja na vitamins nyingi zilizomo humo pia kuna vitamin B6 ambayo itamfanya ajisikie mwenye afya njema siku zote atakazobeba mimba yake huku akijihakikishia kujifungua salama.
Kama wewe huna maradhi yoyote ila ungependa kujiwekea kinga ya kutosha kwa maradhi basi unashauriwa utumie Dawalishe za B6 au uanze mara moja kuihusisha tangawizi katika milo yako yote ya kutwa nzima na hakika utaonekana ukitabasamu muda wote kwa kuwa utakuwa na kinga ya maradhi, hutaumwa viungo na hutasikia kichefuchefu tena katika maisha yako.
Ukiona mtu anatapika, basi chemsha maji yenye tangawizi yapooze na umpe anywe na kutapika kutaisha huku ukimuwahisha kwa daktari kwa msaada zaidi.

UNYAMA MKALI JAMANI


Msichana mmoja, Mariam Chacha, mkazi wa Mtaa wa Nyasho A, mjini hapa amemwagiwa maji ya moto na kuunguzwa mwili, hali iliyofanywa alazwe katika hospitali ya mkoa.


Mariam Chacha baada ya kumwagiwa maji ya moto.
Tukio hilo la kusikitisha lilitokea Oktoba 22 mwaka huu saa mbili usiku ambapo inadaiwa aliyefanya kitendo hicho ni Pendo Wambura ambaye amekamatwa na polisi.
Habari kutoka ndani ya kituo cha polisi mjini hapa zinadai kuwa mara baada ya Mariam kumwagiwa maji ya moto na mwenzake na kuungua sehemu za kitovu mpaka usoni, matiti na mikono na akiwa hajitambui mpaka sasa, wasamaria wema walimpeleka polisi ili kupata hati ya matibabu (PF 3) na akaenda kutibiwa katika Hospitali ya Serikali ya Musoma alikolazwa wodi namba nne.
“Polisi tulikwenda kumkamata mtuhumiwa na tunamshikilia kwa kuwa majeruhi hali yake ni mbaya, kalazwa, na tayari amefunguliwa jalada namba MUS/IR/5009/013,” alisema afisa mmoja wa polisi kwa sharti la kutoandikwa jina lake gazetini kwa kuwa siyo msemaji.
Shuhuda mmoja aliliambia gazeti hili kwamba Mariam alikwenda kuwasalimia ndugu zake pamoja na mama yake ambaye ni mgonjwa wanaokaa nyumba moja na mtuhumiwa.



“Mariam alipoona hali ya mama yake alianza kulia ndipo Pendo alipokwenda kuchukua maji yaliyokuwa yakichemka ili yapikiwe ugali wa mama mwenye nyumba na akamwagia mwenzake akidai eti anachukizwa na kitendo chake cha kumlilia mgonjwa wake,” kilisema chanzo.

HIVI NDIVYO ILIVYOKUA KATIKA MAZISHI YA BABA YAKE WEMA SEPETU



Marehemu Balozi Isaac Abraham Sepetu enzi za uhai wake
Mh. Jaji Warioba  akisaini kitabu cha Maombolezo leo mchana nyumbani kwa Marehemu Balozi Isaac Abraham Sepetu jijini Dar es Salaam Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mh. Bernard Membe akisaini kitabu cha maombolezo leo October 29, 2013 nyumbani kwa marehemu Marehemu Balozi Isaac Abraham Sepetu
Mama Gertrude Mongella akisaini kitabu cha maombolezo kwenye msiba wa Marehemu Balozi Isaac Abraham Sepetu nyumbani kwake Sinza Mori leo October 29, 2013



 
Mh. Jaji Warioba na  Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa kimataifa Mh. Bernard Membe wakibadilishana mawazo kwenye msiba wa Marehemu Balozi Isaac Abraham Sepetu leo October 29,2013

Baadhi ya viongozi waliofika msibani kwa Marehemu Balozi Isaac Abraham Sepetu
Watu wa karibu na marehemu waliokuwa wanaishi naye huko Zanzibar wakizungumza jambo kwenye msiba wa Marehemu Balozi Isaac Abraham Sepetu leo nyumbani kwake Sinza jijini Dar es Salaam
Mtoto mkubwa wa Marehemu Balozi Isaac Abraham Sepetu, Aman Isaac Sepetu akizungumza jambo na mwandishi wa habari,  Mkwaiawa Kuhenga  leo October 29, 2013 nyumbani kwa Marehemu
Mtoto wa marehemu akimsalimia mama baada ya kufika msibani hapo leo mchana
Mama akiwa na mwanae baada ya kufika msibani
Wema Sepetu  (katikati) akiongea na Dada yake (wa kwanza Kushoto) na (kulia) ni mama yake mama yake mzazi
Kajala alishindwa kujizuia na kuanza kulia na kupelekea watu wengine kuanza kulia kwa majonzi
Mwili wa Marehemu Balozi Isaac Abraham Sepetu ukifikishwa nyumbani kwake
Jeneza lililobeba mwili wa Marehemu Balozi Isaac Abraham Sepetu likibebwa na kupelekwa ndani
Jeneza lililobeba mwili wa Marehemu Balozi Isaac Abraham Sepetu likibebwa na kupelekwa ndani ya nyumba
Aman Isaac Sepetu ambaye ni mtoto mkubwa wa marehemu akitoka ndani na msalaba wa Marehemu Balozi Isaac Abraham Sepetu
Jeneza lililobeba mwili wa Marehemu Balozi Isaac Abraham Sepetu likitolewa ndani ya nyumba kwa ajili ya kufanyiwa maobi na kuagwa ili kupelekwa Zanzibar kwa ajili ya mazishi
Wema Sepetu akiwa ameshikiliwa baada ya kuona mwili wa baba yake mzazi Marehemu Balozi Isaac Abraham Sepetu ukiwa kwenye jeneza
Ilikuwa ni simanzi kubwa kwa Wema Sepetu
Wema Sepetu akiwa na simanzi nzito
Mwili wa Marehemu Balozi Isaac Abraham Sepetu ukiwa ndani ya jeneza
Ndugu na jamaa wakiuaga mwili wa Marehemu Balozi Isaac Abraham Sepetu leo nyumbani kwake jijini Dar es Salaam leo October 29, 2013
Ndugu na jamaa wakiuaga mwili wa Marehemu Balozi Isaac Abraham Sepetu leo nyumbani kwake jijini Dar es Salaam leo October 29, 2013
Ndugu na jamaa wakiuaga mwili wa Marehemu Balozi Isaac Abraham Sepetu leo nyumbani kwake jijini Dar es Salaam leo October 29, 2013
Ndugu na jamaa wakiuaga mwili wa Marehemu Balozi Isaac Abraham Sepetu leo nyumbani kwake jijini Dar es Salaam leo October 29, 2013
Ndugu na jamaa wakiuaga mwili wa Marehemu Balozi Isaac Abraham Sepetu leo nyumbani kwake jijini Dar es Salaam leo October 29, 2013
Ni simanza msibani kwa Marehemu Balozi Isaac Abraham Sepetu leo leo October 29, 2013
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa kimataifa Mh. Bernard Membe akitoa salamu za rambirambi kwa familia ya marehemu Balozi Isaac Abraham Sepetu leo nyumbani kwake jijini Dar es Salaam leo October 29, 2013
Baadhi ya wanafamilia wa Marehemu Balozi Isaac Abraham Sepetu
Mwendesha misa akitoa neno
Somo la mwenyezi mungu likisomwa wakati wa kuagwa kwa Mwili wa Marehemu Balozi Isaac Abraham Sepetu leo nyumbani kwake jijini Dar es Salaam leo October 29, 2013
Mwili wa marehemu ukiombewa
Baadhi ya watoto wa Marehemu Balozi Isaac Abraham Sepetu
Wasifu wa Marehemu Balozi Isaac Abraham Sepetua ukisomwa
Mtoto mkubwa na msemaji wa familia, Aman Isaac Sepetu akitoa shukrani kwa wale wote waliofika kuwafariji kwenye msiba wa baba yao mpendwa Marehemu Balozi Isaac Abraham Sepetu nyumbani kwake jijini Dar es Salaam leo October 29, 2013
Mke wa Marehemu Balozi Isaac Abraham Sepetu akiwa na mmoja wa mtoto wa  Marehemu Balozi Isaac Abraham Sepetu
Baadhi  ya ndugu na jamaa waliofika msibani

Ni majonzi



PICHA NA HABARI NI KWA  HISANI YA PAMOJA/PAMOJAPURE BLOG